Friday, August 19, 2011

RONALDINHO AITWA KATKA KIKOSI CHA BRAZIL AMBACHO KITACHEZA MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA GHANA!

Hatimae baada ya kusahaulika kwa muda mrefu katika kikosi cha timu ya taifa ya BRAZIL, mshambuliaji wa zamani wa taifa hilo Ronaldo de Assis Moreira (RONALDINHO) amejumuishwa katka kikosi cha BRAZIL  kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miezi nane ambacho kitavaana na GHANA mwezi ujao, kwa upande mwengine mlinzi wa Timu hiyo  Maicon Douglas Sisenando ameachwa kutokana na majeruhi wachezaji waliotajwa katika kikosi hicho kitakachovaana na GHANA ni; Goalkeepers:  Julio Cesar, Fabio, Jefferson
Defenders:
Daniel Alves, Thiago Silva, David Luiz, Adriano, Danilo, Dede, Lucio, Marcelo
Midfielders:
Lucas Leiva, Paulo Henrique Ganso, Ronaldinho, Elias, Fernandinho, Lucas, Ralf, Luiz Gustavo

Strikers: Robinho, Neymar, Alexandre Pato, Hulk, Leandro Damiao.

Mchezo utachezwa  Fulham's Craven Cottage on Sept. 5.

No comments:

Post a Comment