Saturday, August 20, 2011

Mikel Arteta kuziba nafasi ya Fabregas Arsenal?

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger ameripotiwa kutaka kutoa ofa kwa kiungo wa Everton, Mikel Arteta kama mbadala wa aliyekuwa nahodha wa klabu hiyo, Cesc Fabregas aliyejiunga na fc Barcelona. 

No comments:

Post a Comment