Thursday, September 15, 2011

YANGA KATIKA MTIHANI MWENGINE KWA LYON LEO!



Yanga hii leo wanateremka kwenye nyasi bandia za Azam kumkabili African lyon katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Yanga watakuwa wanasaka ushindi wao wa kwanza toka wamfunge simba katika fainali ya Kagame Cup, huku wakihangaika kujinasua toka mkiani. Leo watashuka bila ya mshambuliaji wake waliyo mfungia kwa utovu wa nidhamu Jerry Tegete.
Afican lyon watateremka katika dimba la Azam wakiwa na dhamira ya kuendelea kuitibulia yanga huku nao wakitaka kujiweka katika nafasi nzuri katika msimamo wa ligi kwa kuibuka na ushindi hii leo.
Katika mchezo uliochezwa jana Simba waliichapa goli moja timu ya Polisi Dodoma, goli lililo fungwa na Kago.


MSIMAMO WA VPL.Kwenye Mabano Idadi ya Mechi Zilizochezwa.
1. Simba SC (5) 13
2. JKT Ruvu (5) 9
3. Mtibwa Sugar ( 5) 8
4. Moro United (5) 8
5. Azam FC (5) 8
6. Toto Africa (5) 7
7. JKT Oljoro ( 5) 6
8. Africa lyon (4) 5
9. Coastal Union (5) 4
10. Villa Squad (5) 4
11. Kagera Sugar (5) 4
12. Ruvu Shooting (5) 4
13. Polisi Dodoma (5) 3
14. Yanga SC (4) 3

No comments:

Post a Comment