Tuesday, September 13, 2011

OKWI KUIWAHI MECHI YA KESHO

Mshambuliaji Emmanuel Okwi hivi sasa yupo kwenye uwanja wa ndege wa O Tambo jijini Johanesburg nchini Afrika ya Kusini akisubiria ndege ya kuja nchini Tanzania. Okwi alikuwa kwenye michuano ya ALL African Games akiwa na nchi ya Uganda, taarifa zilizoifikia Blog hii zinasema uongozi wa Simba umelazimika kumtumia Tiketi ya ndege ili auwahi mchezo wa kesho wa ligi kuu dhidi ya Polisi Dododma.

No comments:

Post a Comment