Tuesday, September 13, 2011

WASHIRIKI WA SHINDANO LA THE GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE WAENDA 'BONDENI'

 Vijana 16 waliopata nafasi ya kushiriki katika shindano la kuonyesha kipaji na uelewa wa mambo ya soka wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka kuelekea njini Johannesburg, Afrika Kusini kwa ajili ya kurekodi tangazo la promosheni la kipindi chaTelevisheni cha Guinness Football Challenge, watakuwa wakishindania dola 50,000 kila wiki.
 Hapa wakielekea kupanda ndege ya shirika la ndege la South Africa Airways kwa ajili ya kurekodi tangazo la televisheni kwa ajili ya kipindi cha Guinness Football Challenge.
Vijana wakielekea uwanja wa ndege tayari kwenda south africa na Ndege ya South African Airline

No comments:

Post a Comment