Wednesday, September 14, 2011

KAGO AIPAISHA TENA SIMBA

Uhuru Suleimani wa Simba (kushoto) akiruka daluga la beki wa Polisi Tanzania, Nassor Mhagama.
Shujaa wa Msimbazi, Gervas Kago.
Katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliochezwa kwenye uwanja wa Azam,uliopo Chamazi jijini Dar-es-Salaam. Simba imeshinda 1-0.

No comments:

Post a Comment