Friday, September 2, 2011

FRANCIS CHEKA AMTANDIKA TENA MADA MAUGO!

Bondia Francis Cheka amefanikiwa kumshinda bondia Mada Maugo kwa pointi.

       
Pambano hilo lilichezeshwa na waamuzi toka chama cha TPBC lisilokuwa la ubingwa, walimpa ushindi cheka kama ifuatavyo;



Mwamuzi wa kwanza alitoa matokeo yanayofanana kwa mabondia wote 98-98.



Jaji wa pili alimpa Cheka ushindi wa pointi 99-98.



na jaji wa tatu alimpa Cheka ushindi wa 100-98.

No comments:

Post a Comment