Tuesday, September 13, 2011

TANGAZO LA ZANTEL KWA WANAOTAKA KUCHANGIA, KUTOA NA KUPATA TAARIFA KUHUSU KUZAMA KWA MELI YA MV. SPICE ISLANDERS

Kwa kutoa taarifa za maiti zilizopatikana, kupata taarifa za abiria waliopotea katika ajali ya meli Spice Islanders piga kwa wahusika namba ya bure 0775112112.


 
Changia Mfuko wa Zanzibar kwa kutuma neno ZNZ kwenda 15580. Utatozwa kiasi cha Tsh 200 kwa kila SMS. Tuma SMS nyingi kwa kuchangia zaidi.

No comments:

Post a Comment