Tuesday, September 13, 2011

TWIGA STARS WATOLEWA ALL AFRICA GAMES

Timu ya taifa ya wanawake Twiga Stars imetolewa katika michuano ya All African game kufuatia kutoka sare na Zimbabwe hapo jana.
Twiga stars imetolewa baada ya kujikusanyia pointi 2 kwa kutoka sare na Afrika Kusini huku wakichapwa na Ghana goli 2-1 katika mchezo wa ufunguzi.

No comments:

Post a Comment