Monday, September 12, 2011

UMOJA WA WAISLAM WAISHIO UINGEREZA WASOMA DUA KUWAOMBEA WAATHIRIKA WA AJALI YA MELI YA MV. SPICE ISLANDERS

Baadhi ya Watanzania wanaoishi nchini Uingereza wakisoma dua ya pomoja kuwaombea waathirika wa meli ya MV. Spice Islandes iliyokuwa ikitokea Dar-es-Salaam kupitia Unguja kwenda Pemba usiku wa kuamkia tarehe 10 Septemba 2011. Idadi ya wtu waliopoteza maisha mpaka sasa ni 197 huku zaidi ya 600 wakiokolewa, juhudi za uokozi bado zinaendelea kwa ushirikiano wa Polisi wa Baharini kutoka nchini Afrika Kusini.


No comments:

Post a Comment