Monday, September 12, 2011

TAARIFA KWA WATUMIAJI WA BLOG HII: TUTAKUWA TUKIWAPA HABARI MBALI MBALI AMBAZO ZINAHUSU AJALI YA KUZAMA KWA MELI YA MV SPICE ISLANDERS

Katika kipindi hiki kigumu cha Msiba mzito BLOG yako ya COCOSPORT inatoa mkono wa Pole kwa Wazanzibari wote kwa jumla kwa msiba huu na kuwataka wawe na subira na kushirikiana katika kuendelea na uokowaji kwa kuweka ghadhabu na lawama upande na kupeana kila taarifa inayohusu tokeo hili kwa haraka.
Innaa lillaaahi wa innaaa ilayhi rajiuuun.
KWA NIABA YA WAFANYAKAZI WOTE WA COCONUT FM, (88.2) TUNASEMA TUKO PAMOJA KATIKA KPINDI HICHI KIGUMU MWENYEZI MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AAAMEN! PIA WAPE MOYO WA SUBRA WAFIWA WOTE NA MAJERUHI AWAJAALIE WAPONE KWA HARAKA.

No comments:

Post a Comment