Monday, April 9, 2012

CHELSEA HAINA JIPYA ENGLAND

Usiku huu Chelsea imelazimishwa sare ya 1-1 na Fulham, ikitangulia kufunga kwa penalti kupitia kwa Frank Lampard dakika ya 45, lakini Dempsey akasawazisha dakika ya tano ya muda wa nyongeza baada ya kutimu dakika 90 za mechi hiyo. Chelsea imeshuka hadi nafasi ya sita kwa pointi zake 57 baada ya kucheza mechi 33, wakati Fulham sasa ni ya tisa kwa pointi zake 43, baada ya kucheza mechi 33. Pichani ni bao la kusawazisha la Fulham likitinga nyavuni.

No comments:

Post a Comment